Wake wa Jacob Zuma, Nompumelelo Ntuli(kushoto) na Thobeka Mabhija wakishuhudia mume wao akiapa kuwa Rais wa Afrika Kusini, kwa kweli wazuri na wamependeza.
Thursday, May 21, 2009
Saturday, May 9, 2009
Friday, May 8, 2009
FUL VICHEKO !!!!
JACOB ZUMA na Waziri Mkuu wa Uingereza Gordon Brown wakipeana mikono ,wakiwa ni wenye furaha ya aina yake .
ZUMA AKISAKATA DANSI!
Rais wa Chama cha African National Congress -ANC, ambaye pia ni Rais Mteule wa Afrika Kusini JACOB ZUMA akicheza muziki katika moja ya kampeni zake mjini Johannesburg na pembeni anaonekana Rais Mstaafu wa nchi hiyo NELSON MANDELA(MADIBA)mwenye umri wa miaka 90 ambaye waliwapa mshangao wafuasi wa ANC kuja katika kampeni hizo ambayo ikikuwa ni mwishino kabisa
Bunge la Afrika Kusini tayari limemchagua JACOB ZUMA kuwa Rais mpya wa nchi hiyo.
Bwana ZUMA alichaguliwa kwa kura 277- hiyo ni kura 13 zaidi ya viti vinavyodhibitiwa na ANC bungeni.
Zuma anatarajiwa kuapishwa kesho kushika wadhifa huo wa Urais.
Bunge la Afrika Kusini tayari limemchagua JACOB ZUMA kuwa Rais mpya wa nchi hiyo.
Bwana ZUMA alichaguliwa kwa kura 277- hiyo ni kura 13 zaidi ya viti vinavyodhibitiwa na ANC bungeni.
Zuma anatarajiwa kuapishwa kesho kushika wadhifa huo wa Urais.
Subscribe to:
Posts (Atom)