Monday, December 28, 2009

Thursday, May 21, 2009

FULL KUPENDEZA


Wake wa Jacob Zuma, Nompumelelo Ntuli(kushoto) na Thobeka Mabhija wakishuhudia mume wao akiapa kuwa Rais wa Afrika Kusini, kwa kweli wazuri na wamependeza.

Saturday, May 9, 2009

ZUMA ALA KIAPO CHA KUWA RAIS.

Hayawi hayawi sasa yamekuwa ,JACOB ZUMA ala kiapo cha kuwa Rais wa Afrika Kusini.

Friday, May 8, 2009

FUL VICHEKO !!!!

JACOB ZUMA na Waziri Mkuu wa Uingereza Gordon Brown wakipeana mikono ,wakiwa ni wenye furaha ya aina yake .

ZUMA AKISAKATA DANSI!

Rais wa Chama cha African National Congress -ANC, ambaye pia ni Rais Mteule wa Afrika Kusini JACOB ZUMA akicheza muziki katika moja ya kampeni zake mjini Johannesburg na pembeni anaonekana Rais Mstaafu wa nchi hiyo NELSON MANDELA(MADIBA)mwenye umri wa miaka 90 ambaye waliwapa mshangao wafuasi wa ANC kuja katika kampeni hizo ambayo ikikuwa ni mwishino kabisa

Bunge la Afrika Kusini tayari limemchagua JACOB ZUMA kuwa Rais mpya wa nchi hiyo.
Bwana ZUMA alichaguliwa kwa kura 277- hiyo ni kura 13 zaidi ya viti vinavyodhibitiwa na ANC bungeni.

Zuma anatarajiwa kuapishwa kesho kushika wadhifa huo wa Urais.

Tuesday, April 21, 2009

WALEMAVU NI WENZETU TUWAJALI

SEMINA YA SIKU NNE YA WATU WENYE ULEMAVU ILIYOFANYIKA KIBAHA –PWANI KUANZIA TAR 6-9 APRIL MWAKA HUU.

Mimi ni mmoja wa watu ambaye nilishiriki Semina ya Siku nne ya Haki za Watu Wenye Ulemavu iliyoandaliwa na Taasisi ya Cheshire ambapo semina hiyo ilifanyika Wilayani Kibaha Mkoani Pwani katika chuo cha maendeleo ya Jamii kilichopo Tumbi.

Katika Semina hiyo ambayo ilishirikisha watu mbalimbali wakiwemo Watu wenye Ulemavu -WWU ,Madiwani, waandishi wa Habari za watu wenye Ulemavu kutoka mtandao wa wanahabari za WWU –MWAKU pamoja na watendaji mbalimbali kutoka Serikalini.

Semini hiyo ambayo ilikuwa ya aina yake iliweza kujadili masuala mbalimbali ikiwemo mada zinazohusu masuala ya watu wenye ulemavu.

Watu mbalimbali wakiwemo wenye ulemavu walishiriki katika kutoa mada ambapo kulikuwa na changamoto mbalimbali.

Miongoni mwa mada zilizowasilishwa katika semina hiyo ya siku nne ni Haki za Watu Wenye Ulemavu katika mtanzamo wa Mikakati ya Kimataifa Juu ya Haki za Binadamu, Sera ya Taifa ya Maendeleo na Huduma kwa Watu Wenye Ulemavu, na Changamoto za Watu Wenye Ulemavu Dhidi ya Umaskini na Misingi ya Haki za Binadanu .

Nyingine ni pamoja na Ushiriki wa Watu Wenye Ulemavu katika Sera na Mikakati yake na Ushawishi na Utetezi kwa Watu wenye Ulemavu.

Mara baada ya kuwasilishwa kwa mada hizo washiriki walijadili na kuchangia mada hizo ambapo kwa watu ambao tulikuwa na uelewa mdogo kuhusu masuala ya watu wenye ulemavu tulifaidika na kuelimika.

Kutokana na mada hizo binafsi nikiwa mwandishi wa habari mambo mengi kuhusu masuala ya watu wenye ulemavu nilikuwa siyafahamu vizuri kupitia semina hiyo nimeweza kufahamu na kujifunza mambo mengi kuhusu WWU.

Siku nne kwa upande wangu zilikuwa za mafunzo tosha kwa kuwa katika kazi yangu ya uandishi inahitaji uelewa wa kutosha katika masuala mbalimbali ili kuelimisha jamii kuhusu haki za watu wenye ulemavu.


Katika Semina hiyo masuala mbalimbali yalijitokeza ikiwa ni pamoja na watu wenye ulemavu kuulaumu uongozi wa mkoa wa Pwani kutotoa ushirikiano kwa jamii ya watu wenye Ulemavu kitu ambacho WWU kuona wanatengwa na Uongozi wa Mkoa.

Serikali ina jukumu kubwa la kuhakikisha watu wenye ulemavu wanapata haki sawa kwa kuhakikisha sheria na sera zilizopo zinatimizwa kwa kuwa wamekuwa wakitengwa katika sehemu mbalimbali.

Kama ni sheria tumeziweka wenyewe kama ni sera tumezitunga wenyewe kwa hiyo hakuna sababu ya kutozisimamia ili WWU waweze kupata haki zao kama ambavyo watu wasio na ulemavu wamekuwa wakipata.

Lakini hatuwezi kutimiza hayo yote iwapo jamii ya watu wenye ulemavu yenyewe haitasimama na kutetea haki zao wenyewe wala hawatajijali wenyewe hivyo ni vema WWU wakawa mfano katika kuhakikisha wanapigania haki zao wenyewe kwa kuwa wana haki sawa kama watu wasio na ulemavu.

Kama watanzania tunatakiwa kuona jamii ya watu wenye ulemavu kuwa ni wenzetu wanahitaji mapenzi kwa kuwa na wana haki sawa kama watu wasio na Ulemavu.

Lakini kubwa zaidi ni kukumbuka kuwa sisi sote ni walemavu watarajiwa hivyo hatuna sababu ya kuwatenga au kuwanyanyapaa watu wenye ulemavu.

Ni mengi nimeweza kujifunza katika semina hiyo na jinsi ya kuandika habari ambazo zitasaidia kuwaelimisha watanzania kuhusu masuala na haki za watu wenye ulemavu.

Wednesday, March 25, 2009

Mwanamke Urembo



Ki ukweli wadau nimependa sana jinsi hina na piko ilivyopakwa kapendeza sana japo kuwa sura yake haijaonekana ,nahisi hata mimi nikipa nitapendeza sana, wadau nami nitapaka alafu nitapiga picha muone jinsi itakavyonitoa.

Rais JAKAYA KIKWETE akipokelewa Uwanja wa Ndege

Rais Ahmed Abdallah Sambi wa visiwa vya Comoro akimkaribisha Rais Jakaya Kikwete alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Prince Said Ibrahim eneo la Hayaya kisiwani Ngazija jana kuanza ziara ya siku tatu. (Picha na Freddy Maro

Tuesday, March 17, 2009

KEKI NI TAMU

Maharusi wakikata keki baada ya kutoka kanisani kula kiapo cha kufa na kuzikana.
Ukweli huyo dada nampenda sana hasa katika filamu zake ambazo tayari nimeziona anajua nini hasa anakifanya katika kazi yake jamani wabongo na hasa waigizaji wa filamu ebu tuige mfano wa huyo dada.
Ini Edo akiwa na mumewe kwa kweli wametoka mchicha ile mbaya jamani kuolewa raha!

KUACHANA NA UKAPELA


Hatimaye Muigizaji Maarufu nchini Nigeria Ini Edo apata mume ,kila la kheri dada katika maisha mapya ya ndoa

Friday, February 27, 2009

Historia ya Bwana Ban Ki-moon



Ban Ki-moon (Hangul: born 13 June 1944) is the current Secretary-General of the United Nations.
Before becoming Secretary-General, Ban was a career diplomat in South Korea's Ministry of Foreign Affairs and in the United Nations. He entered diplomatic service the year he graduated from college, accepting his first post in New Delhi. In the foreign ministry he established a reputation for modesty and competence.
Ban was the Foreign Minister of the Republic of Korea from January 2004 to November 2006. In February 2006 he began to campaign for the office of Secretary-General. Ban was initially considered to be a long shot for the office. As foreign minister of Korea, however, he was able to travel to all of the countries that were members of the United Nations Security Council, a manoeuvre that turned him into the campaign's front runner.
On 13 October 2006, he was elected to be the eighth Secretary-General by the United Nations General Assembly. On 1 January 2007, he succeeded Kofi Annan, and passed several major reforms regarding peacekeeping and UN employment practices. Diplomatically, Ban has taken particularly strong views on global warming, pressing the issue repeatedly with former U.S. President George W. Bush, and Darfur, where he helped persuade Sudanese President Omar al-Bashir to allow peacekeeping troops to enter Sudan.
Childhood
Ban was born in Eumseong in a small farming village in North Chungcheong, in 1944, while Korea was ruled by Japan. When he was three, his family moved to the nearby town of Chungju, where he was raised During Ban's childhood, his father had a warehouse business, but the warehouse went bankrupt and the family lost its middle-class standard of living. When Ban was six, his family fled to a remote mountainside for the duration of the Korean War. After the war, his family returned to Chungju. The U.S. military troops in Korea were the first Americans whom Ban ever met.
Education
In secondary school Ban became a star pupil, particularly in his studies of English. According to local stories, Ban would regularly walk 6 miles (9.7 km) to a fertilizer plant to practice English with the factory's American advisors. In 1952, he was selected by his class to address a message to then UN Secretary-General Dag Hammarskjöld, but it is unknown if the message was ever sent. In 1962, Ban won an essay contest sponsored by the Red Cross and earned a trip to the United States where he lived in San Francisco with a host family for several months As part of the trip, Ban met U.S. President John F. Kennedy. When asked by a journalist at the meeting what Ban wanted to be when he grew up, he said "I want to become a diplomat." Ban received a bachelor's degree in International Relations from Seoul National University in 1970, and earned a Master of Public Administration from the John F. Kennedy School of Government at Harvard University in 1985.[5] At Harvard, he studied under Joseph Nye who remarked that Ban had "a rare combination of analytic clarity, humility and perseverance."
According to his curriculum vitae, in addition to his native Korean, Ban speaks English, French, German, and Japanese. There have been questions, however, regarding the extent of his knowledge of French, one of the two working languages of the United Nations Secretariat.
Family
Ban Ki-moon met Yoo Soon-taek in 1962 when they were both high school students. Ban was 18 years old, and Yoo Soon-taek was his secondary school's student council president. Ban Ki-moon married Yoo Soon-taek in 1971. They have three adult children: two daughters and a son. His eldest daughter, Seon-yong (born 1972), works for the Korea Foundation in Seoul. His son, Woo-hyun (born 1974), is a student at the University of California, Los Angeles, studying for a master's degree in public administration. His youngest daughter, Hyun-hee (born 1976), is a field officer for UNICEF in Nairobi, Kenya. After his election as Secretary-General, Ban became an icon in his hometown, where his extended family still resides. Over 50,000 gathered in a soccer stadium in Chungju for celebration of the result. In the months after his appointment, thousands of practitioners of feng shui went to his village to determine how it produced such an important person. Ban himself is not a member of any church or religious groupand has declined to expound his beliefs: "Now, as Secretary-General, it will not be appropriate at this time to talk about my own belief in any particular religion or God. So maybe we will have some other time to talk about personal matters." His mother is reportedly Buddhist.
Personality
In the Korean Foreign Ministry his nickname was Ban-chusa, meaning "the Bureaucrat" or "the administrative clerk". The name was used as both positive and negative: complimenting Ban's attention to detail and administrative skill while deriding what was seen as a lack of charisma and subservience to his superiorsThe Korean press corps calls him "the slippery eel" for his ability to dodge questions. His demeanor has also been described as a "Confucian approach".
Ban's work ethic is well documented. His schedule is reportedly broken into five-minute blocks; Ban claims to sleep for only five hours a night and never to have been late for work. During the nearly three years he was foreign minister for South Korea the only vacation he took was for his daughter's wedding. Ban has said that his only hobby is golf, and he plays only a couple of games a year

Thursday, February 19, 2009

Huyu Dada namzimikia kweli !


Born: 26 September 1981
Birthplace: Saginaw, Michigan
Best Known As: Four-time winner of the Australian Open
Serena Williams and her sister Venus became stars of women's tennis in the late 1990s. The sisters were African-Americans, then a rarity in pro tennis, and quickly became known for their powerful games, powerful confidence, adn flashy fashion sense. Like Tiger Woods, Serena and Venus were child prodigies who began playing their chosen game before kindergarten. Serena is a year younger than Venus and (at 5'10") about three inches shorter, but she became the first sister to win a major tournament by claiming the singles title at the 1999 U.S. Open. Serena went on to become the dominant women's tennis player of the early 2000s; in 2002-03 she won the "Serena slam" by holding all four grand slam titles at once: the 2002 French Open, Wimbledon and U.S. Open titles, and the 2003 Australian Open. Her other major titles are Wimbledon in 2003, the Australian Open in 2005, 2007, and 2009, and the U.S. Open in 2008
Personal Information
Born on September 26, 1981, in Saginaw, MI; daughter of Richard (a security agency owner and tennis coach) and Oracene (Brandy) Williams (a nurse).Education: Attending Art Institute of Florida.Religion: Jehovah's Witness.Memberships: Women's Tennis Association.

Tuesday, February 10, 2009



JE UNAJUA HISTORIA YA SIKU YA WAPENDANAO?

Every February, across the country, candy, flowers, and gifts are exchanged between loved ones, all in the name of St. Valentine. But who is this mysterious saint and why do we celebrate this holiday? The history of Valentine's Day — and its patron saint — is shrouded in mystery. But we do know that February has long been a month of romance. St. Valentine's Day, as we know it today, contains vestiges of both Christian and ancient Roman tradition. So, who was Saint Valentine and how did he become associated with this ancient rite? Today, the Catholic Church recognizes at least three different saints named Valentine or Valentinus, all of whom were martyred.
One legend contends that Valentine was a priest who served during the third century in Rome. When Emperor Claudius II decided that single men made better soldiers than those with wives and families, he outlawed marriage for young men — his crop of potential soldiers. Valentine, realizing the injustice of the decree, defied Claudius and continued to perform marriages for young lovers in secret. When Valentine's actions were discovered, Claudius ordered that he be put to death.
Other stories suggest that Valentine may have been killed for attempting to help Christians escape harsh Roman prisons where they were often beaten and tortured.
According to one legend, Valentine actually sent the first 'valentine' greeting himself. While in prison, it is believed that Valentine fell in love with a young girl — who may have been his jailor's daughter — who visited him during his confinement. Before his death, it is alleged that he wrote her a letter, which he signed 'From your Valentine,' an expression that is still in use today. Although the truth behind the Valentine legends is murky, the stories certainly emphasize his appeal as a sympathetic, heroic, and, most importantly, romantic figure. It's no surprise that by the Middle Ages, Valentine was one of the most popular saints in England and France.
While some believe that Valentine's Day is celebrated in the middle of February to commemorate the anniversary of Valentine's death or burial — which probably occurred around 270 A.D — others claim that the Christian church may have decided to celebrate Valentine's feast day in the middle of February in an effort to 'christianize' celebrations of the pagan Lupercalia festival. In ancient Rome, February was the official beginning of spring and was considered a time for purification. Houses were ritually cleansed by sweeping them out and then sprinkling salt and a type of wheat called spelt throughout their interiors. Lupercalia, which began at the ides of February, February 15, was a fertility festival dedicated to Faunus, the Roman god of agriculture, as well as to the Roman founders Romulus and Remus


Hayo ni maelezo machache kuhusu siku hiyo ya wapendanao

Friday, February 6, 2009

GOOD FRIDAY!

Hi to all member who ready my Blog!

Today is the end of our Workshop am happy to say that I enjoy this workshop for 5 days from Monday up to Friday , I learn many thing about Internet, very fantastic this week because we are not read only but we eating food ,we enjoying breakfast so was nice week.


In Our workshop . facilitator mr Perk trying to show and how to use computer especially Internet because is very important for Journalism.

I have 9 years in journalism but I do not use Internet Properly for my job from today am going to use internet to find references and history of any country or people who femace.


Another thing I learn in this workshop if I want done booking ,how to find website ,and manything about findind document so it was so fun to me.

But not only in this workshop our facilitator show us how to open the blog and Am happy to say that today I have a blog and am going to use my knowledge for others who want to open the blog and am going to teach them the profite of blog.

In this workshop also we are learn the journalism of the age of Internet and now I saw how journalist needs the internet and people need internet to get news or information.



What I discovered was that the Internet is the most effective and easy way of communicating


I real thanks my trainer Mr PEIK JOHANSSON God Bless U and I wish all the best !!!!

For anyone who have a question please use my email address njarabi@yahoo.com

OBAMA NA MKEWE

Barack Obama na Mkewe Michelle Obama wakipunga mkono kwa wageni .



Barack Obama na Michelle Obama wakicheza muziki



Mke wangu unajua wewe ni mzuri kuliko wanawake wote duniani.


Waswahili tunaita zero distance hiyo ,muziki taratibu kwa raha zao.


MAKINI ZAIDI

Jiang akituelekeza jinsi ya kutumia mtandao aliyevaa blauzi ya damu ya mzee ni Regina Mwalekwa na anayefuata ni mimi Joyce Njarabi na aliyekaa ni Basili Msongo na mwishi ndiye Jiang mwenyewe akitoa maelekezo
Nikiwa darasani na wenzangu tukijifunza kutumia mtandao wa kwanza ni Regina Mwalekwa na anayefuata ni mimi Joyce Njarabi na mwisho ni Basil Msongo a.k.a baba Brian.






CALL OBAMA
President of Marekani BARACK OBAMA was born 1961 in hawaii with mother ANN DUNHAM who american woman and father’s name is HUSSEIN BARACK OBAMA who’s from Kenya .

Before BARACK OBAMA born ,his parent met 1960 in University of Hawaii at Manoa where is father was foregn student on schorarship after met with DUNHAM they be a coulpe married on february 1960.

After BARACK OBAMA born this two couple was separeted and father of Obama back to Kenya and OBAMA remain with mother ,his father saw his son only once before dying with accident in 1982.

BARACK OBAMA mother’s was marriage again with other man from Indonesia and after that the family moved to Indonesia and Obama attended local schools in Jakarta such as Besuki Public School and St. Francis of Assisi School, until he was ten years old.

After that OBAMA returned to Honolulu to live with his maternal grandparents, MADELYN and STANLEY ARMOUR DUNHAM, while attending Punahou School from the fifth grade in 1971 until his graduation from high school in 1979.

OBAMA moved to Los Angeles, where he studied at Occidental College for two years then he transferred to Columbia University in New York City, where he majored in political science with a specialization in international relations he graduated with a B.A. from Columbia in 1983 and He worked for a year at the Business International Corporation and then at the New York Public Interest Research Group.

After four years in New York City, Obama moved to Chicago, where he was hired as director of the Developing Communities Project (DCP), a church-based community organization originally comprising eight Catholic parishes in Greater Roseland (Roseland, West Pullman and Riverdale) on Chicago's far South Side.

President OBAMA study many course and but after finishing his study For twelve years, served as a professor at the University of Chicago Law School teaching Constitutional Law and He was first classified as a Lecturer from 1992 to 1996 and then as a Senior Lecturer from 1996 to 2004.

All that background I want to show who is Obama and education ,after that he go in politics and for the first time was elected to the Illinois Senate in 1996 is the one African people to take the that chance.


On February 10, 2007, Obama announced his candidacy for President of the United States and the one who are want the chance of getting candidate of president is Seneta HILLARY CLINTON through Democratic Party .

So Obama passed the threshold to become the presumptive nominee.

Last yaer On November BARACK OBAMA defeated John McCain in the general election and became the first African American to be elected President of the United States.

OBAMA have a wife Michelle Obama and have two daughter Malia Obama and Obama

OBAMA is man who Femace in this World and was few historical of BARACK HUSSEIN OBAMA but have big history from school up to Now.

Thankx for reading my Blog






















Thursday, February 5, 2009

Internet is very important to Journalism

Hallow Tanzania and Other people who reading my blog ,

Yesterday was a day three in my workshop ,It was good to me because was learn many thing about website and how to find website It was very fun to me and the topic was saying that Internet in everyday in Journalism this Topic was fantastic.

Our trainer Mr Peak Johansson is a good teacher because I understand what he teach.

In this Topic Internet in everyday in Journalism ,Its true that now ourdays the journalist need internet more than anything to done the job or work.

If you’re the journalist and you want done good job you must use Internet because you can get many references in you story, so throught this topic now I understand the Important of Internet and website in my job.

Also I understand how to find historical background of any country ,or any people who femace ,example If I want to find profile of any prominent figure or presidents in this world through Internet and website I can get It properly.

Not Only another this which I learn through this workshop in day three ,for Journalist is very important to check or to read other website in order to expand knowledge.

Another thing I understand that In this world for journalist is very important to use Internet because world is like village if you want anything you can get through internet.

I try to explain many thing but let me tell you how I find Information or any news ,example of website is,







http://www.bbc.co.uk/ ,http://www.aljezeera.com/, http://www.cnn.com/ ,

http://www.uhuruinfo.co/.tz ,

http://www.jamiiforum.com/ mailto:.www.mhariri@habarileo.co.tz,%20www.parliament.com

http://www.raiamwema.com/ , http://www.thisday.co.tz/ http://www.cloudsfm.co.tz/ , http://www.startv.com/ ,

This is few website which we are trying to check yesterday there many website which you can get information

Thanks and good day!

Tuesday, February 3, 2009

mambo ya mtandao

Hallow,
Leo ikiwa ni siku ya pili katika warsha nimejifunza mengi moja ikiwa ni journalism of the age of Internet.

Katika mada hii imenifundisha umuhimu wa mwandishi wa habari katika kutumia mtandao(Internet)hasa katika kazi zake za kila siku.

Asilimia kubwa ya waandishi wa habari nchini bado hawatumii mtandao ipasavyo katika kuandika habari yawezekana ni kwa sababu ya gharama au kutofahamu kutumia mtandao.

Changamoto kubwa iliyopo ni waandishi wa habari kutumia mtandao kama ambavyo nchi za magharibi zimekuwa zikitumia mtandao katika mausuala ya habari ambayo inaweza kukurahisishia kazi.

Mtandao ni moja ya kitu ambacho kinaweza kukupatia habari kwa haraka tofauti na kusubiri magazeti ama njia nyingine ya mawasiliano.

Kwa miaka mingi Tanzania tumekuwa tukitumia magazeti kufikisha ujumbe ama habari kitu ambacho kimekuwa kikisababisha watanzania wengi kukosa habari muhimu.

Lakini Tangu kuingia kwa vyombo vya habari kama radio na Televisheni imesaidia kwa kiasi kikubwa watanzania wengi kupata habari lakini bado takwimu zinaonyesha kuwa watanzania wengi hawatumii mtandao ipasavyo(internet) na hasa ukizingati asilimia kubwa ya magazeti yamekuwa na website kwa ajili ya kuweka habari zilizo gazetini.

Sina hakika kwa mwenendo huu tunaokwenda nao katika kipindi cha miaka 10 ijayo kama kutakuwa na mwamko wa watanzania kutumia mtandao ,labda linalochangia kubwa ni zaidi asilimia 70 ya watanzani hawana umeme je mtandao wataupata wapi???????

Hii ni changamoto kubwa kwa serikali lakini kwa wadau ambao ni wapenda maendeleo hasa katika dunia hii ya sayansi ya Teknolojia…