Tuesday, March 17, 2009

KEKI NI TAMU

Maharusi wakikata keki baada ya kutoka kanisani kula kiapo cha kufa na kuzikana.
Ukweli huyo dada nampenda sana hasa katika filamu zake ambazo tayari nimeziona anajua nini hasa anakifanya katika kazi yake jamani wabongo na hasa waigizaji wa filamu ebu tuige mfano wa huyo dada.

No comments:

Post a Comment