Wednesday, March 25, 2009

Rais JAKAYA KIKWETE akipokelewa Uwanja wa Ndege

Rais Ahmed Abdallah Sambi wa visiwa vya Comoro akimkaribisha Rais Jakaya Kikwete alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Prince Said Ibrahim eneo la Hayaya kisiwani Ngazija jana kuanza ziara ya siku tatu. (Picha na Freddy Maro

No comments:

Post a Comment